v1.0.0
← HelpSera ya Faragha
Jinsi tunavyokusanya, kutumia, kulinda na kuhifadhi taarifa binafsi.
Tarehe ya kuanza: 21 Aug 2026 20:33
Kilichobadilika: Toleo la kwanza la policy.
1. Taarifa tunazokusanya
Tunahifadhi taarifa za akaunti, contacts, recipients, campaigns, malipo, delivery, device/login na audit records zinazohitajika kuendesha huduma.
2. Madhumuni
Taarifa hutumika kuthibitisha akaunti, kutoa huduma, kuzuia fraud, kutuma notifications, kutoa support na kutimiza wajibu wa kisheria.
3. Kushirikisha taarifa
Taarifa zinaweza kushirikishwa na SMS, email, hosting au payment providers kwa kiwango kinachohitajika kutoa huduma. Hatuuzi contact lists kwa third-party marketing.
4. Usalama na retention
Tunatumia access controls, audit logs na backups. Data huhifadhiwa kwa muda unaohitajika kwa huduma, usalama, malipo na sheria.
5. Haki zako
Unaweza kuomba access, correction, export, restriction au deletion pale inapowezekana, na kuwasiliana kupitia sms@nyanzaflash.com.
6. Recipients
Client anayepakia recipient data anawajibika kuwa na ruhusa au msingi halali wa kuitumia.
Content verification: c35fbc2d6e0f…